Salamu Maria



Salamu, Maria,
umejaa neema,
Bwana yu nawe:
umebarikiwa kuliko wanawake wote,
na Yesu, mzao wa tumbo lako amebarikiwa.

Maria Mtakatifu,
Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu,
sasa, na saa ya kufa kwetu.

Amina.